VOA Swahili
VOA Swahili
  • 9 782
  • 33 192 018
MSANII WA NIGERIA REMA AZIDI KUTAMBA KATIKA SOKO LA MUZIKI DUNIANI
- - - - -
VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi.
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000.
Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru.
Jiunge na VOA Swahili:
» Tembelea Tovuti Yetu: bit.ly/3PtyNWc
»Angalia Video Zaidi za VOASwahili: bit.ly/3TNTiiI
»Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : bit.ly/VOAPlus
»Download VOA+ katika vifaa vya Android bit.ly/3KykriI
»Tembelea Tovuti yetu: www.voaswahili.com/
»Upende ukurasa wetu wa Facebook: voaswahili
»Tufuatilie katika Instagram: voaswahili
»Tufuatilie katika X: voaswahili
»Tufuatilie katika UA-cam: www.youtube.com/@VOASwahili
Переглядів: 33

Відео

ONGEZEKO LA JOTO NA ATHARI ZAKE KIAFYA
Переглядів 4614 годин тому
- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijam...
Rais Biden azungumzia kuhusu mdahalo | VOA Swahili
Переглядів 30222 години тому
Rais wa Marekani Joe Biden siku ya Ijumaa alizungumzia kuhusu wasiwasi uliojitokeza kwa kile kilichotazamwa kama mdahalo mbaya usisku wa Alhamisi iliyopita. Baadhi ya wafuasi sasa wanamtaka ajiondoe katika uchaguzi VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahil...
Marekani yaendelea kusukuma mpango wa amani kati ya Israel na Hamas
Переглядів 23722 години тому
Marekani inaendelea kusukuma mpango wa amani kati ya Israel na Hamas unawahusisha wapatanishi wa kikanda Misri na Qatar. Wakati huo huo, Israel na Hamas wanasema hakuna maendeleo wakati mapigano yameongezeka huko Gaza. VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kisw...
CHANGAMOTO ZA UKUSANYAJI KODI KATIKA NCHI ZA AFRIKA MSHARIKI
Переглядів 31723 години тому
- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijam...
Wafanyabiashara Tanzania wagoma kwa kufunga maduka | VOA Swahili
Переглядів 154День тому
Nchini Tanzania, wafanyabiashara walifanya mgomo kwa kufunga maduka, wakilalamikia ongezeko la kodi na kutaka baadhi ya kodi ziondolewe na kiwango cha faini kupunguzwa. VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani...
Maandamano Kenya ya kupinga Mswaada wa fedha | VOA Swahili
Переглядів 431День тому
Kenya imeshuhudia maandamano kupinga mapendekezo ya serikali ya ukusanyaji kodi na kumlazimisha rais William Ruro kuuondoa mswaada huo wa fedha wa mwaka 2024. VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Ma...
Kwa nini sera na mikakati ya ukusanyaji kodi Afrika Mashariki yakataliwa?
Переглядів 378День тому
Mjadala unaendelea Afrika Masharika kuhusu ulipaji kodi. Kenya imeshuhudia maandamano kupinga mapendekezo ya serikali ya ukusanyaji kodi na kumlazimisha Rais William Ruro kuuondoa mswaada huo. Wakati Tanzania wafanyabiashara wamegoma kwa kufunga maduka wakilalamikia ongezeko la kodi na kutaka baadhi ya kodi ziondolewe na kiwango cha faini kupunguzwa. Wakati Tanzania wafanyabiashara waligoma kwa...
Kampeni za uchaguzi Mauritania zakamilika | VOA Swahili
Переглядів 12016 годин тому
Kampeni rasmi kwa ajili ya uchaguzi wa rais wa Mauritania, zinamalizika Alhamis huku wananchi wanasema wanataka mabadiliko ambapo Rais Mohamed Ould El Ghazwani anaetetea mhula wake wa pili. Kiongozi huyo anatarajiwa kupata ushindi kufuatana na uchunguzi wa maoni. Uchaguzi huo wa June 29 unachukuliwa na wachambuzi wengi kua ni mtihani kwa mfumo wa kidemokrasia na mageuzi katika nchi hiyo ambayo ...
Wagombea urais Marekani kuchuana katika mdahalo leo | VOA Swahili
Переглядів 1,9 тис.16 годин тому
Wagombea urais Marekani kuchuana katika mdahalo leo | VOA Swahili
Trump na Biden kufanya mdahalo Alhamisi | VOA Swahili
Переглядів 1,1 тис.18 годин тому
Trump na Biden kufanya mdahalo Alhamisi | VOA Swahili
Bajeti za mwaka 2024 Afrika mashariki zasabaisha taharuki
Переглядів 73818 годин тому
Bajeti za mwaka 2024 Afrika mashariki zasabaisha taharuki
UTAFITI WABAINI CHANJO MBADALA DHIDI YA KIFUA KIKUU
Переглядів 11318 годин тому
UTAFITI WABAINI CHANJO MBADALA DHIDI YA KIFUA KIKUU
FILAMU YA POSTCARD YA NOLLYWOOD NA BOLLYWOOD YATESA NETFLIX
Переглядів 15118 годин тому
FILAMU YA POSTCARD YA NOLLYWOOD NA BOLLYWOOD YATESA NETFLIX
|AI huenda ikaathiri upigaji kura Marekani
Переглядів 58720 годин тому
|AI huenda ikaathiri upigaji kura Marekani
Wafanyabiasha Kariakoo wagoma kwa kufunga maduka
Переглядів 95923 години тому
Wafanyabiasha Kariakoo wagoma kwa kufunga maduka
Wakenya walioko Marekani Waandamana kupinga mswada wa fedha
Переглядів 24 тис.23 години тому
Wakenya walioko Marekani Waandamana kupinga mswada wa fedha
Mdahalo wa kwanza kati ya Biden na Trump kufanyika Alhamisi | VOA Swahili
Переглядів 2,2 тис.23 години тому
Mdahalo wa kwanza kati ya Biden na Trump kufanyika Alhamisi | VOA Swahili
Wananchi wa Afrika Mashariki walalamikia bajeti mpya za nchi zao | VOA Swahili
Переглядів 3,3 тис.23 години тому
Wananchi wa Afrika Mashariki walalamikia bajeti mpya za nchi zao | VOA Swahili
Trump asema watu wasio raia wanapiga kura kinyume cha sheria Marekani
Переглядів 361День тому
Trump asema watu wasio raia wanapiga kura kinyume cha sheria Marekani
Biden na Trump wajaribu kuwavutia wapiga kura wenye weusi
Переглядів 2,8 тис.День тому
Biden na Trump wajaribu kuwavutia wapiga kura wenye weusi
Athari za mikopo kwa nchi masikini barani Afrika
Переглядів 439День тому
Athari za mikopo kwa nchi masikini barani Afrika
MAKALA YA AFYA: Mtaalamu ya ugonjwa ya kisukari aelezea athari na tahadhari kwa walioathirika
Переглядів 469День тому
MAKALA YA AFYA: Mtaalamu ya ugonjwa ya kisukari aelezea athari na tahadhari kwa walioathirika
Waliopoteza makazi Burkina Faso waelezea walivyo anzisha biashara na kujikimu kimaisha
Переглядів 169День тому
Waliopoteza makazi Burkina Faso waelezea walivyo anzisha biashara na kujikimu kimaisha
suala la uvamizi uliofanywa na wafuasi wa Trump waendelea kujitokeza
Переглядів 58314 днів тому
suala la uvamizi uliofanywa na wafuasi wa Trump waendelea kujitokeza
ZULIA JEKUNDU - USHER RAYMOND APEWA TUZO YA MSANII MKONGWE
Переглядів 14114 днів тому
ZULIA JEKUNDU - USHER RAYMOND APEWA TUZO YA MSANII MKONGWE
MAISHA NA AFYA - FAIDA YA FURAHA KATIKA AFYA YAKO
Переглядів 10714 днів тому
MAISHA NA AFYA - FAIDA YA FURAHA KATIKA AFYA YAKO
Nchi tajiri zadaiwa kutoa mikopo badala ya misaada kwa nchi za Afrika
Переглядів 1,3 тис.14 днів тому
Nchi tajiri zadaiwa kutoa mikopo badala ya misaada kwa nchi za Afrika
Viongozi wa Serikali huko Goma yadai kudhibiti hali ya usalama
Переглядів 27214 днів тому
Viongozi wa Serikali huko Goma yadai kudhibiti hali ya usalama
Iran yaanzisha vinu vipya katika programu yenye utata ya nyuklia
Переглядів 40414 днів тому
Iran yaanzisha vinu vipya katika programu yenye utata ya nyuklia

КОМЕНТАРІ

  • @msalem4833
    @msalem4833 12 годин тому

    MashAllah shariff adnan. Clip starts 20:00. Great work🎉

  • @dollardavid955
    @dollardavid955 14 годин тому

    Tunaelekea wapi kwa hali hii ya ongezeko la joto?

  • @josephwanjiru-ji8db
    @josephwanjiru-ji8db 19 годин тому

    Ruto tims tuliliia transfer bona ulizima na ukasema tulipie tena na tulilipa na mpesa,hio ni haki kweli ,hapo pia ni makosa kubwa vitu mingi kama hizo tunaona na tunaona sio haki

    • @josephwanjiru-ji8db
      @josephwanjiru-ji8db 15 годин тому

      We paid for vehiclce trañsfer where is our money na hii economy ,its so painful

  • @user-ni9gx1ho6c
    @user-ni9gx1ho6c 21 годину тому

    Laana tulwah waizrail namashoga wak wote

  • @idealabubakar2209
    @idealabubakar2209 22 години тому

    IDEAL ABUBAKAR ❤ FROM KINSHASA DRC🇨🇩

  • @onlinetvke
    @onlinetvke День тому

    Kenya is at peace. It's only some goons and criminals trying to sabotage the long-lasting peace that we have enjoyed for a long time.

  • @user-ch3ku3yx2z
    @user-ch3ku3yx2z День тому

    Mzigo kwa wasomi wetu wajao

  • @StephenOtieno-vt2dx
    @StephenOtieno-vt2dx День тому

    any kenyan here we protest tomorrow

  • @PaulOrenge-eo4hb
    @PaulOrenge-eo4hb День тому

    Kwa sababu ya mataifa ya kebepari kuingilia kwa mataifa ya Africa na kuchochea wananchi tuko na madini Yetu ila tu tunawalamba wazungu matako,,ndo uwe shujaa Kenya kwetu hilo hatunaaaaasaaa

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 День тому

    R.I.P magufuli

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b День тому

    Hiyo siyo selikali achie nchi ya luto na selikali yake

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 дні тому

    Viongozi wa Afrika wawe makini sana

  • @MFATAMUGENZI-mg5fj
    @MFATAMUGENZI-mg5fj 3 дні тому

    Piga adui

  • @VivianChichi-jl7mp
    @VivianChichi-jl7mp 3 дні тому

    😂😂😂😂

  • @IsiraeliMolly
    @IsiraeliMolly 3 дні тому

    Chida akuna amani kwani siku soto kiwja isiyo nakili nimusigo kwashigo niwaisi tu hawa 😅😅😅😅😅

  • @IsiraeliMolly
    @IsiraeliMolly 3 дні тому

    Apana sio sahi bana😢😢😢😢😢😢😢

  • @kabangulubaba2055
    @kabangulubaba2055 3 дні тому

    Weekend njema!

  • @mwema5009
    @mwema5009 3 дні тому

    Sumuna judith mwaziri ya wakwanza wa Kongo .hana kitu yeyote atafanya ispokua kuiba kama vile wengine

  • @YohanaTulito
    @YohanaTulito 4 дні тому

    VOA SWAHILI tupo. Pamoja. Sana. Kwa taaarifa. Nzuri. Sana mnao tupatia. 🎉🎉❤

  • @BlessingZealotbarakamuseya
    @BlessingZealotbarakamuseya 4 дні тому

    Kwanini ulikata mdawala wa marekani

  • @ChrisBanza-gl7vw
    @ChrisBanza-gl7vw 4 дні тому

    Courage

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 4 дні тому

    Tramp afazali baiden amehangusha uchumi sn 😢😢😢😢 Pia tena Miaka yake inakwenda sn

  • @AlcidesmattosLima
    @AlcidesmattosLima 4 дні тому

    Asant sana

  • @user-kx1ie3hw1h
    @user-kx1ie3hw1h 5 днів тому

    @Maria Mgawe hatuipati VOA online (Tunein)

  • @didimeandrewngowi
    @didimeandrewngowi 5 днів тому

    Taifa la Kenya tafuteni Amani kwanza, Rais William Ruto ni kiongozi mwadilifu na uongozi wake una lengo jema na wananchi, kwanza tumuunge mkono, mnajua alichuwa nchi kiuchumi mnajua wazi haukuwa mzuri, tumpe muda ataweka hali ya uchumi kuimarika na hali ya maisha kuwa sawa.AMANI TU.

    • @elijahmanani
      @elijahmanani 4 дні тому

      Wewe humjui ruto viziri

    • @josephwanjiru-ji8db
      @josephwanjiru-ji8db 4 дні тому

      Ruto ako group ya watu wanamwambia vile atafanya anadharao mdogo wake ni kitu kidogo tu,akijirundia mambo inakuwa sawa

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 4 дні тому

      Ndio mana adi leo Ccm wanatwala kwa ujinga wa amani n.k uwongo mtupu

    • @Daidizz01chinga
      @Daidizz01chinga 2 дні тому

      Auna akiri

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 5 днів тому

    Asante kwa taarifa

  • @RoseSsembwere-rb5yd
    @RoseSsembwere-rb5yd 5 днів тому

    Wow

  • @mwema5009
    @mwema5009 5 днів тому

    Ruto na kisekedi wa Drc ni wizi hawana uruma na raiya .wanapenda safari na hela

  • @tonyndungu5709
    @tonyndungu5709 6 днів тому

    Wakenya tunashukuru Mungu kwa hatua hiyo ila kuna mabadiliko mengi tunayaombea kufanyika

  • @victoriashiko7172
    @victoriashiko7172 6 днів тому

    In Kenya is only the rich families are getting good treatment nice hospital medical but poor families peoples are die inside their houses in 🤫silent

  • @Robathpaschali
    @Robathpaschali 6 днів тому

    Jamani viongoz nikweri kocha ibenge

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q 6 днів тому

    Tunaomba hao mahafisa wakenya wapotee huko

  • @mwema5009
    @mwema5009 6 днів тому

    Zaidi ruto na kisekedi Drc wamekua tabiya moja.ni wasafari na wanapenda hela wa mwizii ni wauaji wa kisirisiri

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely8476 6 днів тому

    Ujinga wa watawala wa Kiafrika.badala ya kusikiliza maoni ya wananchi wenye haki.wanafata matakwa yao

  • @user-hh7zz1bg1p
    @user-hh7zz1bg1p 6 днів тому

    RDF ❤❤❤

  • @PaulOrenge-eo4hb
    @PaulOrenge-eo4hb 7 днів тому

    Ruto WA Kenya must go Anatuma Haiti Askali na Kenya hakukaliki

  • @PaulOrenge-eo4hb
    @PaulOrenge-eo4hb 7 днів тому

    Minnesota we reject the Bill Ruto aende Home kama amechoka G,,z pamoa

  • @karimilucah2702
    @karimilucah2702 7 днів тому

    Those are illegal migrants!!

  • @Kaka-kq2uy
    @Kaka-kq2uy 7 днів тому

    These pple are working in America .How many taxes do they pay .Do they know that in their pay they cater for the homeless and the have not?Wale wakenya wanalipa Kodi wakikosa watakutana na IRS.Please tell them the truth

  • @eshasalim1471
    @eshasalim1471 7 днів тому

    MashaLLAH ❤️ Allah atujaaliye umoja wetu udumu sote wakenya .umoja ni nguvu utengano ni udhaifu

  • @cynanwambui
    @cynanwambui 7 днів тому

    Muranga hospital maji was disconnected patients were going with jerricans on admission😢 i dont know whether mawasco has recconected.just sad

  • @bernardthuo2455
    @bernardthuo2455 7 днів тому

    We as Kenyans are tired of this baldhead. He must go for good together with his bill

  • @user-mh9hj3lx7q
    @user-mh9hj3lx7q 7 днів тому

    Ruto kashindua

  • @kamche3563
    @kamche3563 7 днів тому

    BUDGETED CORRUPTION is crippling our economy. Zakayo and his clowns waende sana

  • @user-je2pv2vx2l
    @user-je2pv2vx2l 7 днів тому

    Congrats our brothers and sisters

  • @kennedymakori8040
    @kennedymakori8040 7 днів тому

    You don't have your country at heart,shutup

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah9676 7 днів тому

    Kisha wanaa nyimwa Visa ya US. Embassy hawawezi trvel

  • @kennedymakori8040
    @kennedymakori8040 7 днів тому

    Using mucus instead of brain,give your government time 😮😢😢😮😮

  • @elijahasiso287
    @elijahasiso287 7 днів тому

    Its very unfortunate that kenya president go to US,hired a foregn expensive plane,then back to kenya to try tax foregn kenyans who for many years have helped families over there...any money sent to kenya ia always taxed on any expenditures over there.....Kenyans in diaspora themselve cant have 8 hours sleep....some are even homeless!!! Tourist who come to kenya fot safari are also tax....what else do you want from diasporas money???? You didnt even create job for them....some are even loosinvg their loved in Saudi Arabia... Reject that bill!

  • @sultanmswahilitv4864
    @sultanmswahilitv4864 7 днів тому

    Big up our brothers n sisters in Diaspora. Let us speak in one voice.kenya niyetu sote🎉